Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akitembelea fimbo maalum za walemavu baada ya kuumia kifundo cha mguu wa kulia, maumivu ambayo yatamuweka nje kwa wiki sita. Kane aliumia Jumapili ya wiki iliyopita baada ya kugongana na kipa Asmir Begovic katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Spurs wakishinda 4-1 dhidi ya Bournemouth
David Moyes vows to rat out source who LEAKED Jarrad Branthwaite injury
news - as furious Everton launch investigation
-
The defender damaged his hamstring on Wednesday and is out of Monday's
Premier League opener at Leeds United.
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment