Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kufunga mabao manne dakika za 11, 47, 64 na 90 na ushei katika ushindi wa 6-3 wa Real Madrid kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana dhidi ya Girona Uwanja wa Bernabeu na kufikisha hat trick 50 katika historia yake. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Lucas Vazquez dakika ya 59 na Gareth Bale dakika ya 86 wakati ya Girona yalifungwa na Christian Stuani dakika za 29 na 67 na Juanpe dakika ya 88 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy legend's partner gives a shattering account of his last moments as
she tried to save his life with CPR as meth killed him: 'I was screaming at
him to keep his eyes open'
-
The grieving partner of former AFL premiership-winning star Adam Hunter has
revealed the devastating details of what happened on the night of February
4 th...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment