Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump says Americans will get $2,000 from tariffs, but experts warn these
‘dividends’ may cost you more than that
-
Officials say the money might come in the form of a tax reduction rather
than a check.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment