Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang (mbele) akiwa kwenye maji akiupoza mwili baada ya mazoezi ya leo Uwanja wa Colney mjini London chini ya kocha mpya, Mspaniola, Unai Emery aliyechukua nafasi ya kocha wa muda mrefu, Mfaransa Arsene Wenger. Arsenal inatarajiwa kwenda Singapore Jumapili kushiriki Kombe la Mabingwa wa Kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mackenzie Hughes' tee shot hits cameraman in head at Truist Championship
and then bounces onto green
-
Mackenzie Hughes has endured a rough week at the Truist Championship, but
he caught a break Saturday when his errant tee shot on the par-3 13th hole
at Qua...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment