HIGUAIN ATUA AC MILAN KWA MKOPO KUMPISHA RONALDO JUVEGonzalo Higuain akiwa amepozi na jezi ya AC Milan kuelekea kufanyiwa vipimo vya afya kwa ajili ya kukamilisha uhamisho wake wa mkopo wa muda mrefu wa msimu timu hiyo kutoka Juventus, zote za Italia. Juve inamuacha Higuain baada ya kumnunua Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo kwa Pauni Milioni 100 kutoka Real Madrid ya Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL quarterback leaves fans in tears after donning Superman costume
for visit to children's hospital
-
The rookie star tugged on the heartstrings of fans when he was seen
parading around a children's hospital in a Halloween costume to bring joy
to the patients.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment