BEKI Jose Luis Gaya akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Hispania bao la kusawazisha dakika ya 90 na ushei kufuatia Timo Werner kuwatanguliza wenyeji, Ujerumani dakika ya 51 katika sare ya 1-1 katika mchezo wa Kundi la Nne Ligi ya Mataifa ya Ulaya,usiku wa jana Uwanja wa Mercedes-Benz-Arena Jijini Stuttgart PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Russia-Ukraine war 'coming to an end,' Putin says amid ceasefire,
scaled-back parade
-
Russian President Vladimir Putin is facing a wave of anxiety in Moscow
about the war in Ukraine, which has killed hundreds of thousands.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment