Mchezaji wa Ngorongoro Heroes Abdul Hamisi Suleiman akiwa na mpira baada ya kufunga mabao matatu dakika za 65,71 na 90 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Djibouti kwenye mchezo wa Kundi A michuano ya CECAFA U20 leo Uwanja wa Black Rhino Academy, Karatu mkoani Arusha. Mabao mengine ya Tanzania yalifungwa na Teps Theonasy dakika ya 52, Khelfin Hamdou dakika ya 82 na Kassim Haruna dakika ya 88, wakati la Djibouti limefungwa na Abdourahma Kamil dakika ya 14
See the TV commercial that made a spooky prediction about the NSW Blues'
huge State of Origin problem
-
Footy fans were left shocked by a major NSW failing in the two-point loss
to the Maroons on Wednesday - but they'd been warned about it in a
commercial fea...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment