WENYEJI, Coastal Union wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Polisi Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha.
Kwa matokeo hayo, Coastal inafikisha pointi nne, wakati Polisi Tanzania sasa ina pointi mbili tu baada ya wote kucheza mechi tatu.
Lagos urges calm after over 12 hours of heavy rainfall, tells residents to
be at alert
-
By Lukman Olabiyi Lagos State Government has appealed for calm among
residents following more than 12 hours of continuous heavy rainfall across
the state...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment