TANZANIA YAPATA USHINDI WA KWANZA SOKA LA UFUKWENI COSAFA
TANZANIA imekaza msuli na kupata ushindi wa kwanza kwenye michuano ya Soka la Ufukweni ya COSAFA baada ya ushindi wa 5-2 dhidi ya Mauritius leo ufukwe wa South Beach nchini Afrika Kusini. Ikumbukwe mechi zote mbili za awali Tanzania ilifungwa 4-3 na Misri na 4-2 na Uganda.
0 comments:
Post a Comment