WENYEJI, Singida Big Stars wamelazimishwa sare ya 0-0 na jirani zao, Dodoma Jiji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa LITI, zamani Namfua mjini Singida.
Dodoma Jiji inaokota pointi ya kwanza baada ya kufungwa mechi zote mbili za awali, wakati Singida Big Stars imetimiza pointi saba kufuatia kushinda mbili za awali.
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment