Mshambuliaji Robert Lewandowski 'akibusu' mbele ya mashabiki wa Poland baada ya kuifungia bao timu yake katika mchezo wa Kundi D usiku wa jana kufuzu Euro 2016 Ufaransa dhidi ya Jamuhuri ya Ireland katika ushindi wa 2-1. Bao lingine la Poland lilifungwa na kiungo Grzegorz Krychowiak, wakati la Ireland lilifungwa na Jon Walters kwa penalti baada ya Shane Long kuchezewa rafu na Jakub Wawrzyniak. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bianca Odumegwu-Ojukwu: The Queen’s surprise 57th birthday
-
Once upon a time, in a kingdom nestled in the heart of a lush African
valley, Queen Amina was renowned for her compassion, wisdom, and dedication
to her ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment