Nyota wa Leicester City, Wes Morgan akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao pekee la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 1-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja King Power. Leicester City sasa inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mechi 32, ikiwazidi kwa pointi saba Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili baada ya kucheza mechi 32 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why trademarking your face like Taylor Swift isn’t a ‘silver bullet’
against deepfakes
-
Taylor Swift, Jeremy Clarkson, and Cole Palmer are among the famous names
trademarking their faces in a bid to crack down on deepfakes. Nicole
Wootton-Cane...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment