Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Teacher' O'Neill with work to do as Celtic taught another lesson
-
Interim Celtic manager cut an exasperated figure in Denmark as he watched a
magnificent Midtjylland teach the Scottish champions a lesson.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment