Beki wa Manchester United, Marcos Rojo akimzuia kwenda kufunga mshambuliaji wa Leicester City, Riyad Mahrez aliyeanguka chini ingawa refa hakutoa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 wenyeji Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya nane kabla ya Wes Morgan kuisawazishia Leicester dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cardi B and Stefon Diggs fuel reunion talk with VERY touchy appearance
together at charity event
-
They had broken up around February's Super Bowl - the rapper was supporting
her man in the buildup to the game before abruptly wiping all reference to
him ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment