Mshambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez akishangilia baada ya kufunga bao dakika ya 81 ambalo linakuwa la 54 msimu huu katika mchezo wa La Liga dhidi ya Real Betis Uwanja wa Benito Villamarin mjini Sevilla. Barca imeshinda 2-0, bao lingine akifunga Ivan Rakitic ambalo lilikuwa la kwanza dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Hammered away' - Griffith hits first six of Women's Hundred
-
Cordelia Griffith smashes Tash Farrant's delivery over mid-wicket for the
first six of the 2025 Women's Hundred to take London Spirit to 19-1 against
the O...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment