Kiungo wa Liverpool ya England, Philippe Coutinho akikimbia kushangikia baada ya kuifungia mabao matatu Brazil katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Haiti kwenye mchezo wa Copa America Uwanja wa Camping World mjini Orlando, Marekani. Mabao mengine ya Brazil yamefungwa na Renato Augusto mawili, Gabriel Barbosa na Lucas Lima, wakati la Haiti limefungwa na James Marcelin PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Heart transplants aren't possible': Under-fire Antonio Conte hits out at
his Napoli players for their lack of character - but reserves praise for
Man United loanee Rasmus Hojlund
-
It was Napoli's fifth defeat in all competitions this season and the third
game in a row that they have failed to find the back of the net.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment