Kocha wa Barcelona, Luis Enrique akionyesha ishara jana Uwanja wa Jose Rico Perez mjini Alicante wakati wa mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania wakilazimishwa sare ya 1-1 na Hercules ya Daraja la Pili, maarufu kama Segunda B. Bao Barca iliyocheza bila nyota wake Lionel Messi, Neymar na Luis Suarez lilifungwa na Carles Alena dakika ya 58 baada ya David Mainz kutangulia kuwafungia wenyeji dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bride Refuses to Let Sister Bring Her Newborn Baby to Her 'Child-Free'
Wedding, Says She's 'Ruining the Family Dynamic'
-
The sister wrote that the bride is "the type of person who wants a 'perfect
aesthetic' for everything"
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment