Mtoto wa kocha Zinadine Zidane wa Real Madrid, Enzo Zidane (kulia) akipongezwa na mwenzeke baada ya kufunga bao lake la kwanza timu hiyo katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Bernabeu. Real inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 13-2 baada ya awaoi kushinda 7-1 ugenini. Mabao mengine ya Real jana yalifungwa na Mariano Diaz matatu, James Rodriguez na Cesar Morgado aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool 1-0 Real Madrid PLAYER RATINGS: Who had a 'coming-of-age
performance'? Who now looks back to their best? And which star did nothing
of note?
-
LEWIS STEELE AT ANFIELD: Liverpool once again got one over on Real Madrid
at Anfield on Tuesday night, suggesting that the Reds may well have turned
a corn...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment