Mtoto wa kocha Zinadine Zidane wa Real Madrid, Enzo Zidane (kulia) akipongezwa na mwenzeke baada ya kufunga bao lake la kwanza timu hiyo katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Cultural Leonesa kwenye mchezo wa 32 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Bernabeu. Real inafuzu kwa ushindi wa jumla wa 13-2 baada ya awaoi kushinda 7-1 ugenini. Mabao mengine ya Real jana yalifungwa na Mariano Diaz matatu, James Rodriguez na Cesar Morgado aliyejifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Atletico Madrid believe Barcelona target could leave; sale possible if high
offer arrives
-
In what could be a big boost to FC Barcelona’s transfer plans, journalist
Pedro Fullana of Cadena SER reports that Atletico Madrid are starting to
believe ...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment