Nyota wa FC Barcelona, Lionel Messi (kulia) na mchezaji mwenzake, Luis Suarez baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou mjini Barcelona. Suarez alifunga mawili dakika za 18 na 67, wakati Messi alifunga moja dakika ya 90 huku la tatu likifungwa na Jordi Alba dakika ya 68 na la Espanyol lilifungwa na David Lopez dakika ya 79
EFL confident financially-stricken Sheffield Wednesday will pay their
players this week after stars refused to play friendly in protest over
unpaid wages
-
MIKE KEEGAN: The EFL is confident Sheffield Wednesday will pay its players
this week - and be in a position to play its opening fixture of the season
on Su...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment