Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 41 na 46 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika za 27 na 33 wakati la Watford limefungwa na Younes Kaboul dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wrexham 'will get better' - Coady
-
Conor Coady feels Wrexham's performance in their loss at Southampton showed
they are more than capable of competing in the Championship this season.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment