Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
How Jamie Melham went from 'little fat kid' to winning the Melbourne Cup 
after battling back from white powder and Covid scandals
                      -
                    
Jamie Melham will forever be etched in Australian racing record books 
following her triumph in the Melbourne Cup on board Half Yours - but it 
could have be...
59 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment