Lionel Messi akipongezwa na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za nne na dakika ya 90 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leganes kwenye mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao la Leganes lilifungwa na Unai Lopez dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Davies back to lead Wales for crucial qualifiers
-
Tottenham defender Ben Davies returns from injury to lead Wales in their
final World Cup qualifying games against Liechtenstein and North Macedonia,
but Aa...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment