Mario Balotelli akiondoka uwanjani kinyonge baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu na refa Tony Chapron dakika ya 65 jana, hiyo ikiwa mara ya tatu tangu ahamiw Ufaransa msimu huu katika mchezo dhidi ya wenyeji, Lorient jana Uwanja wa Yves Allainmat mjini Le Moustoir. Nice ilishinda 1-0 hata hivyo, bao pekee la Wylan Cyprien dakika ya 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes and Iliman Ndiaye come to blows in fiery clash as Everton
hold Man United to 2-2 draw in Atlanta
-
The flashpoint occurred just before Everton's second equaliser. Fernandes
slid in from behind on Ndiaye near the halfway line, prompting an angry
reaction ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment