Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 75 ikiwalaza wenyeji, Blackburn Rovers 2-1 usiku huu Uwanja wa Ewood Park mjini Blackburn, Lancashire katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England. Danny Graham alianza kuifungia Rovers bao la kuongoza dakika ya 17, kabla ya Marcus Rashford kuisawazishia United dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Australia not a bunch of old-timers - they're an outstanding team'
-
Australia's squad is older than England's and many are playing in their
last Ashes, but they remain an outstanding team, says Stephan Shemilt.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment