Mashabiki wa Yanga wakifuatilia mchezo wa marudiano Raundi ya Awali Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya timu yao na Ngaya Club de Mde Comoro jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1 na Yanga imesonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-2 baada ya kushinda 5-1 mjini Moroni Jumapili iliopita katika mchezo wa kwanza
Predictor picks: Find out who our expert is backing this weekend... and
play the game with £1,000 up for grabs
-
Predictor is our simple, free-to-play competition where you can win big
cash prizes, with £1,000 up for grabs weekly. Guess the winner of six
Premier Leagu...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment