Zlatan Ibrahimovic akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa Saint-Etienne, Kevin Theophile-Catherine katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Europa League leo Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Manchester United ikishinda 1-0, bao pekee la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 16. Kwa ushindi huo Man United iliyomaliza pungufu baada ya Eric Bailly kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63 inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushindaa 4-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment