Zlatan Ibrahimovic akituliza mpira kifuani mbele ya beki wa Saint-Etienne, Kevin Theophile-Catherine katika mchezo wa marudiano hatua ya 32 Bora Europa League leo Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Manchester United ikishinda 1-0, bao pekee la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 16. Kwa ushindi huo Man United iliyomaliza pungufu baada ya Eric Bailly kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63 inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya awali kushindaa 4-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment