Alvaro Morata aliyetokea benchi akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid baada ya kufunga bao bao la ushindi dakika ya 83 ikiwalaza wenyeji, Villarreal 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica, Villarreal, Hispania. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale dakika ya 64 na Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 74, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manu Trigueros dakika ya 50 na Cederic Bakambu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pregnant wife of ex-NBA star who was attacked by a SHARK breaks her silence
as she shares horrifying details of 'the worst day of my life'
-
Eleonora revealed that she was forced to undergo surgery following the bite
but assured fans on social media that both her and her baby are OK.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment