Alvaro Morata aliyetokea benchi akiwa amezingirwa na wachezaji wenzake wa Real Madrid baada ya kufunga bao bao la ushindi dakika ya 83 ikiwalaza wenyeji, Villarreal 3-2 katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ceramica, Villarreal, Hispania. Mabao mengine ya Real yalifungwa na Gareth Bale dakika ya 64 na Cristiano Ronaldo kwa penalti dakika ya 74, wakati ya wenyeji yalifungwa na Manu Trigueros dakika ya 50 na Cederic Bakambu dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US tennis legend Chris Evert slams WNBA players over wild Caitlin Clark
attacks as she calls out 'bad look'
-
Caitlin Clark was jabbed in the eye by Connecticut's Jacy Sheldon, who had
previously been caught in a heated exchange with the Fever star, before
being pu...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment