Harry Kane akishangilia baada ya kufunga mabao matatu katika dakika za 14, 32 na 37 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa White Hart Lane. Bao lingine la Spurs lilifungwa na Dele Alli dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Police deploy 700 officers, drones, dogs and horses - and make stadium a
no-fly zone - in huge operation to stop unrest at Aston Villa vs Maccabi
Tel Aviv after Israeli fans were BANNED
-
West Midlands Police will also deploy drones, dogs, horses and 'protest
liaison officers' at a match from which away fans are banned. A no-fly zone
will al...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment