Nyota wa Tottenham Hotspur, Dele Alli akimtoka beki wa kulia wa Roma, Mbrazil, Bruno Peres katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Red Bull Arena mjini Harrison, New Jersey, Marekani. Roma imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Diego Perotti dakika ya 13 kwa penalti, Cengiz Under dakika ya 70 na Marco Tumminello dakika ya 90 na ushei, wakati ya Spurs yamefungwa na Harry Winks dakika ya 87 Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday stars issue desperate plea amid 'extreme concern' over
financial turmoil at striken Championship club - with fears they will NOT
be able to play the opening game of the season
-
In a forthright message the group - hit by ongoing wage delays amid
financial troubles - have also explained their decision to withdraw from
the friendly w...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment