Kiungo wa kimataifa wa Rwanda, Haruna Niyonzima (wa pili kulia) akiwa na wachezaji wa Tanzania anaocheza nao Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kipa Said Mohammed Nduda (kulia), beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva kushoto kwake baada ya kukutana mjini Kigali, Rwanda Jumamosi, timu za taifa za nchi hizo zilimenyana na kutoa sare ya 0-0.
What we learned from the first half of the NFL season
-
With half of the NFL season in the books we look at what we learned from
the first nine weeks, who the biggest surprises and disappointments are and
how th...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment