Mshambuliaji mpya wa Arsenal, Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao dakika ya 62 katika kipigo cha 2-1 kutoka kwa Sevilla kwenye mchezo wa Kombe la Emirates, Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao ya Sevilla yamefungwa na Joaquin Correa dakika ya 49 na Steven N'Zonzi dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Charles brothers and McCann out of NI qualifiers
                      -
                    
Northern Ireland manager Michael O'Neill will be without key midfield duo 
Shea Charles and Ali McCann for this month's 2026 World Cup qualifiers 
against Sl...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment