SINGANO ATOKEA BENCHI TIMU YAKE YACHAPWA 3-0 MOROCCO
Winga wa kimataifa wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' (kushoto) juzi alitokea benchi kuichezea timu yake mpya, Difaa Hassan El Jadida ya Morocco ikifungwa 3-0 nyumbani na Olympic Club de Safi (OCS) katika mchezo wa kirafiki
Kikosi kilichoanza hapa Messi aliyejiunga na timu hiyo kutoka Azam FC ya Dar es Salaam hayupo
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
0 comments:
Post a Comment