Gerard Pique akiifungia bao la ushindi Barcelona dakika ya 50 ikiilaza 3-2 Real Madrid katika mchezo wa kirafiki wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Hard Rock mjini Miami, Marekani. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Lionel Messi dakika ya tatu na Ivan Rakitic dakika ya saba, wakati ya Real yamefungwa na Mateo Kovacic dakika ya 14 na Marco Asensio dakika ya 36 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
CCTV appeal after man stabbed in suspected robbery
-
A 40-year-old man was seriously injured and taken to hospital following the
attack on Thursday night.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment