Mchezaji mpya, Alexandre Lacazette aliyesajiliwa kwa dau la rekodi, Pauni Milioni 52 kutoka Lyon akizungumza na mchezaji mwenzake wa Ufaransa, Francis Coquelin wakati wa mazoezi ya timu hiyo kujiandaa na msimu mpya leo Uwanja wa Emirates. Arsenal wataanza na Ngao ya Jamii dhidi ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment