Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
Joel Embiid miffed by FT disparity in 76ers' Game 3 loss to Knicks: 'I
guess it's good when New York wins'
-
The Knicks attempted 32 free throws on Friday night, twice as many as the
Sixers.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment