Winga wa Yanga, Simon Msuva ameposti picha hii kwenye Instagram akisema; "Kwaheri" wakati anaondoka Dar es Salaam jana Morocco kukamilisha mipango ya kujiunga na Difaa Hassan El Jadida ya Ligi Kuu nchini humo. Hiyo ndiyo timu ambayo imemsajili winga mwingine wa Tanzania, Ramadhani Singano 'Messi' kutoka Azam FC
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment