Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akiifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 24 ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 5-2 dhidi ya Benfica ya Ureno katika mchezo wa Kombe la Emirates leo. Walcott alifunga pia la pili dakika ya 32, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Lisandro Lopez aliyejifunga dakika ya 52 na Olivier Giroud dakika ya 74 na Alex Iwobi dakika ya 70 na mabao ya Benfica yamefungwa na Franco Cervi dakika ya 11 na Eduardo Salvio dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City 2-0 Wydad AC: Phil Foden and Jeremy Doku on the scoresheet
as Pep Guardiola's side ease to victory despite Rico Lewis red card to
begin Club World Cup title defence
-
JACK GAUGHAN AT AT LINCOLN FINANCIAL FIELD: Pep Guardiola used a dinner on
the beach in Florida to impress on Manchester City's players that this is a
new ...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment