Mshambuliaji wa Arsenal, Theo Walcott akiifungia bao la kusawazisha timu yake dakika ya 24 ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kushinda 5-2 dhidi ya Benfica ya Ureno katika mchezo wa Kombe la Emirates leo. Walcott alifunga pia la pili dakika ya 32, wakati mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Lisandro Lopez aliyejifunga dakika ya 52 na Olivier Giroud dakika ya 74 na Alex Iwobi dakika ya 70 na mabao ya Benfica yamefungwa na Franco Cervi dakika ya 11 na Eduardo Salvio dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria hits 1.8m bpd oil output – NUPRC
-
From Adanna Nnamani, Abuja The Nigerian Upstream Petroleum Regulatory
Commission (NUPRC) has said that Nigeria’s crude oil production peaked at
1.8 milli...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment