Kinda wa Manchester City, Brahim Diaz akiwa amezingirwa na wenzake kumpongeza baada ya kufunga bao la nne dakika ya 81 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya mabingwa wa Ulaya, Real Madrid Alfajiri ya leo Uwanja wa Los Angeles Memorial Coliseum mjini Los Angeles, California, Marekani katika mchezo wa Kombe la Mabingwa wa Kimataifa. Mabao mengine ya timu ya kocha Pep Guardiola yamefungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 52, Raheem Sterling dakika ya 59 na John Stones dakika ya 67, wakati la timu ya kocha Zinadine Zidane limefungwa na Oscar Rodriguez dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City 2-0 Wydad AC: Phil Foden and Jeremy Doku on the scoresheet
as Pep Guardiola's side ease to victory despite Rico Lewis red card to
begin Club World Cup title defence
-
JACK GAUGHAN AT AT LINCOLN FINANCIAL FIELD: Pep Guardiola used a dinner on
the beach in Florida to impress on Manchester City's players that this is a
new ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment