Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi akipasua katikati ya mabeki wa Real Betis, Alex Alegria (kushoto) na Mcolombian Juan Narvaez usiku wa Jumapili katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Barcelona ilishinda 2-0 mabao ya Gerard Deulofeu aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Alin Tosca dakika ya 36 na Sergi Roberto dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC 328 video: Yaroslav Amosov dominates grappling, taps Joel Alvarez
-
Yaroslav Amosov's grappling game was simply too much for Joel Alvarez to
handle on the prelims of UFC 328.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment