Beki wa Real Madrid, Sergio Ramos akimpiga Fabian Schar wa Deportivo La Coruna katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Manispaa ya Riazor mjini La Coruna usiku wa Jumapili, lakini wachezaji wote wakawa na bahati ya kutoonyeshwa kadi yoyote licha ya kugombana kipindi cha pili. Real iliyomkosa nyota wake, Cristiano Ronaldo anayetumikia adhabu ilishinda 3-0 mabao ya Gareth Bale dakika ya 20, Casemiro dakika ya 27 na Toni Kroos dakika ya 62 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The heartbreaking reason AFL star is the only player in his team
who wears a black armband every game
-
Western Bulldogs midfielder Oskar Baker is the type of player every club
loves to have on their books - and now it can revealed why he wears a black
armban...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment