Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wa La Liga ugenini mbele ya wenyeji, Girona kwa kufungwa 2-1 Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona, Katalunya. Mabao ya Girona yalifungwa na Christhian Stuani dakika ya 54 na Christian Portu dakika ya 58, kufuatia Isco kuanza kuifungia Real dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
California could slash 5 GOP US House seats, as Texas moves at Trump's
urging to pad GOP margin
-
California Democrats are considering new political maps that could slash
five Republican-held House seats in the liberal-leaning state while
bolstering Dem...
3 minutes ago
0 comments:
Post a Comment