Cristiano Ronaldo na wachezaji wenzake wa Real Madrid wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wa La Liga ugenini mbele ya wenyeji, Girona kwa kufungwa 2-1 Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona, Katalunya. Mabao ya Girona yalifungwa na Christhian Stuani dakika ya 54 na Christian Portu dakika ya 58, kufuatia Isco kuanza kuifungia Real dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kansas City Chiefs Super Bowl winner Warren McVea dies at age of 79
-
The speedy running back was the first Black player to receive a football
scholarship to a major Texas school and later helped Kansas City win its
first Sup...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment