Nyota Mbrazil, Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya pili ya muda wa ziada baada ya kutimia 90 za kawaida katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Kombe la Carabao usiku huu Uwanja wa Stamford Bridge, London. Bao lingine la Chelsea lilifungwa na Antonio Rudiger dakika ya 26, wakati la Everton lilifungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya nne ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90. Chelsea inaungana na Manchester United, Manchester City na Arsenal kwenda robo fainali ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment