Chipukizi wa umri wa miaka 18 Edward Nketiah akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Arsenal dakika za 85 na 96 kufuatia kuingia akitokea benchi dakika ya 85 kuchukua nafasi ya Reiss Nelson na kuwawezsha Washika Bunduki kushinda 2-1 dhidi ya Norwich City ndani ya dakika 120 usiku wa jana Uwanja wa Emirates, London na kutinga Robo Fainali ya Kombe la Carabao. Bao la Norwich lilifungwa na Josh Murphy dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC docks Abuja estate developer for N500m land fraud
-
From Godwin Tsa, Abuja The Economic and Financial Crimes Commission (EFCC)
has arraigned a real estate developer, Mrs Godwin-Isaac Rebecca Omokamo,
also ...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment