Mama na mwana, au mtu na mdogo wake mashabiki wa Yanga wakielekea kuingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba
Mashabiki wa Yanga mtu na mpenzi wake tayari kuingia Uwanja wa Uhuru
Jezi zinaendelea kuuzwa nje ya Uwanja wa Uhuru
Na watu wanazidi kumiminika wakiteremshwa na mabasi
Hali ilivyo nje ya Uwanja wa Uhuru
Mashabiki wengine bado wapo Baa wanapata vinywaji
Kansas City Chiefs Super Bowl winner Warren McVea dies at age of 79
-
The speedy running back was the first Black player to receive a football
scholarship to a major Texas school and later helped Kansas City win its
first Sup...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment