Mama na mwana, au mtu na mdogo wake mashabiki wa Yanga wakielekea kuingia Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu, Simba
Mashabiki wa Yanga mtu na mpenzi wake tayari kuingia Uwanja wa Uhuru
Jezi zinaendelea kuuzwa nje ya Uwanja wa Uhuru
Na watu wanazidi kumiminika wakiteremshwa na mabasi
Hali ilivyo nje ya Uwanja wa Uhuru
Mashabiki wengine bado wapo Baa wanapata vinywaji
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment