Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 leo Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi Huddersfield walioifunga Manchester United 2-1 Oktoba 21. Mabao mengine yalifungwa na Daniel Sturridge, Roberto Firmino dakika ya 58 na Georginio Wijnaldum dakika ya 75 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment