Kaimu Rais wa Simba, Salim Abdallah 'Try Again' (katikati) akiwa na kaimu makamu wa Rais, Iddi Kajuna (kulia) na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA), Almasi Kasongo (kushoto) wakifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga uliomalizika kwa sare ya 1-1 leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Kaimu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga (kushoto) akiwa na Makamu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura (katikati) na Mbunge wa zamani wa Lindi Mjini, Abdulaziz Mudhihir
India beat South Africa for historic first World Cup win
-
Shafali Verma scores 87 and Deepti Sharma takes five wickets as India make
history, beating South Africa by 52 runs for their first World Cup title in
Navi...
59 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment