Mshambuliaji Jamie Vardy (kushoto) akiifungia Leicester City bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power. Bao la pili la Leicester Jonjoe Kenny alijifunga dakika ya 29 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kansas City Chiefs Super Bowl winner Warren McVea dies at age of 79
-
The speedy running back was the first Black player to receive a football
scholarship to a major Texas school and later helped Kansas City win its
first Sup...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment