Mchezaji Bora wa Mechi, Leroy Sane akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 10 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, West Brom kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa The Hawthorns. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 14 na Raheem Sterling dakika ya 64, wakati ya West Brom yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 13 na Matt Phillips dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment