Shabiki wa kike wa Yanga (kulia), akiwa mwenye huzuni sawa na mashabiki wengine vijana wadogo wa timu hiyo (kushoto) wakati timu yao ipo nyuma kwa 1-0, bao la Shiza Kichuya jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Darves Salaam kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara
Shiza Kichuya (kushoto) akipongezwa na kiungo Mghana, James Kotei baada ya kuifungia Simba dakika ya 57
Shiza Kichuya akishangilia bao lake
Lakini furaha za wana Simba zilizimwa na Obrey Chirwa (kulia) aliyeisawazishia Yanga dakika ya 60 kwa pasi ya Ibrahim Ajib (kushoto)
India beat South Africa for historic first World Cup win
-
Shafali Verma scores 87 and Deepti Sharma takes five wickets as India make
history, beating South Africa by 52 runs for their first World Cup title in
Navi...
59 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment