Beki wa Simba, Method Mwanjali akiruka kibabe kama mcheza karate kuudhibiti mpira katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Yanga jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Hapa Method Mwanjali anamchezea rafu yenye kuonekana winga wa Yanga, Geofrey Mwashiuya lakini hakuonyeshwa hata kadi ya njano
Method Mwanjali akimvagaa Geoffrey Mwashiuya jana Uwanja wa Uhuru
Hapa Method Mwanjali akimdhibiti Ibrahim Ajib, mchezaji mwingine wa Yanga
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment