Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kushoto) akizungumza na refa Heri Sasii wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Heri Sasii alionekana kuyapuuza anayoambiwa na Okwi na kumuambia aondoke
Refa Heri Sasii anaaonekana anakumsukuma Okwi ili aondoke
Lakini Okwi aligeuka kuendelea kulalamika huku anaondoka kinyumenyume. Nini alikuwa analalamika Okwi?
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment