Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi (kushoto) akizungumza na refa Heri Sasii wakati wa mapumziko kwenye mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, timu hizo zikitoka sare ya 1-1
Heri Sasii alionekana kuyapuuza anayoambiwa na Okwi na kumuambia aondoke
Refa Heri Sasii anaaonekana anakumsukuma Okwi ili aondoke
Lakini Okwi aligeuka kuendelea kulalamika huku anaondoka kinyumenyume. Nini alikuwa analalamika Okwi?
Kansas City Chiefs Super Bowl winner Warren McVea dies at age of 79
-
The speedy running back was the first Black player to receive a football
scholarship to a major Texas school and later helped Kansas City win its
first Sup...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment