Chipukizi aliyepandishwa kutoka timu B, Jose Arnaiz akishangilia kwa staili yake baada ya kuifungia bao zuri la tatu Barcelona dakika ya 56 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Murcia kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme Uwanja wa Nueva Condomina, Murcia. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcecer dakika ya 44 na Deulofeu dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment