Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment