Aaron Ramsey akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 58 wakishinda 2-1 leo dhidi ya Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Swansea walitangulia kwa bao la Sam Clucas dakika ya 22, kabla ya Sead Kolasinac kuisawazishia Arsenal dakika ya 51 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Can you catch the same cold twice?
-
If you feel like you’re constantly catching colds, you’re not alone. Here’s
why your body sometimes fails to build lasting immunity – and what you can
do a...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment