Nahodha wa Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimvisha kanzu beki wa Malawi, Linje Jabulani katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam timu hizo zikitoka sare ya 0-0
Winga wa Tanzania, Simon Msuva akimtoka beki wa Malawi, Chembezi Dennis
Mshambuliaji wa Tanzania, Mbaraka Yussuf (kulia) akimtoka beki wa Malawi, Gomezgab Chirwa
Beki wa Taifa Stars, Gardiel Michael akitia krosi pembeni mbele ya beki wa Malawi
Kikosi cha Taifa Stars katika mchezo wa jana
Kikosi cha Malawi kabla ya mchezo wa jana Uwanja wa Uhuru
Pakistan out after rain-hit defeat by South Africa
-
South Africa return to the top of the table and eliminate Pakistan from the
World Cup with a 150-run win on the DLS method in a rain-plagued match in
Colombo.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment